Historia ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania inaanzia tarehe 19 machi 1926 siku ambayo bunge la uingereza lilipitisha sheria iliyoitwa "The Tanganyika (legislative council) order in 1926".
Tanganyika wakati huo ilikua chini ya utawala wa muingerezaambayo ilikuwa imepewa mamlaka na umoja wa mataifa kuisimamia
